Mahakama ya Kenya Yasitisha Marufuku ya Polisi Dhidi ya Maandamano Nairobi
Mahakama ya Kenya imesitisha marufuku ya polisi dhidi ya maandamano katika Nairobi na maeneo yajirani taarifa zaidi zinasema Polisi walitoa agizo hilo Jumatano 17 Julai wakisema kuwa hali ya kutokuwa na kiongozi imefanya iwe vigumu kudhibiti usalama na kwamba maandamano hayo yameingiliwa na wahalifu."Hatua hii imefuatia mwezi mmoja wa maandamano dhidi ya serikali ambapo watu kadhaa wameuawa. Maandamano zaidi yaliyopangwa kufanyika Alhamisi yalishindwa kufanyika.

0 comments: